“Yeye Sio Mzito Ni Ndungu Yangu” Alisema

Baba Afrika


twitter thread from Baba Afrika




“Yeye sio mzito ni ndungu yangu”
Alisema.

Mtoto huyu aliyembeba mdogoake aliyefariki wakati wa vita ya 2 ya dunia, alimliza mwanajeshi wa kijapani.

Hadi Leo picha hii inatumika kama alama ya Umoja Japan.

Uziiii✍️✍️✍️

Wakati Marekani ilipofanya shambulio la nyuklia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japani mwaka wa 1945, sehemu kubwa ya miji hii iliharibiwa.

Ijapokuwa kulikua na baadhi ya vituo vya matibabu vilisalia. "Yeye sio mzito ni ndungu yangu"
Alisema

hakukuwa na mtu yeyote aliyesalia kutoa msaada.

Raia wengi wa Japani waliuawa papo hapo, huku wengine wakiteseka vibaya kutokana na kuchomwa na miale.

Mashahidi walieleza walionusurika wakiwa na ngozi iliyochubua Mili yao Wakati Marekani ilipofanya shambulio la nyuklia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japani mwaka wa 1945, sehemu kubwa ya miji hii iliharibiwa

malengelenge makubwa vifuani mwao, na ulemavu wa uso ambao uliwaacha karibu wasitambulike.

Kulingana na Ofisi ya Mkoa wa Nagasaki, 70% ya eneo la viwanda la Nagasaki liliteketezwa, na kusababisha majeruhi 87,000. Awali Marekani ilihesabu makadirio ya chini zaidi

ikidai kuwa watu 35,000 waliangamia kutokana na shambulio hilo.

Mpiga picha wa marekani Joe O’Donnell alisafiri hadi Nagasaki kutoka Sasebo na alitembelea nagasakii ili kuandika athari za bomu kwenye jiji. hakukuwa na mtu yeyote aliyesalia kutoa msaada

Wakati fulani, alikuwa kwenye kilima akitazama huku na kule na aliona kundi la wanaume waliovalia vinyago vyeupe karibu na shimo kubwa lenye kina cha futi mbili.

Aliwatazama wakitoa miili kwenye gari, wakaiweka ndani ya shimo na kuiteketeza.

Eneo hili pia ndipo alipomwona “mvulana amesimama karibu na mahali pa kuchomea maiti.”

mtoto wa takriban miaka 10 akiwa amembeba ndugu yake

Mvulana alisimama mda mrefu anajifikiria kumpeleka mdogo wake kwenye mahali pa kuchoma maiti.

Mkao wa mvulana huyo unafanana ma ule wa jeshi la Japani, akionyesha nguvu licha hakua na hatia.

Mpiga picha Joe O’Donnell alisema huku akichukua picha hiyo

mvulana huyu alikuwa amembeba kaka yake aliyekufa mgongoni ili kumzika.

Askari mmoja wa kijapani alimwona na kumuambia amtupe mtoto kwani amesha fariki ili asichoke.

Akajibu:

“Yeye sio mzito, ni ndugu yangu!”
Askari huyo alielewa na kuangua kilio. malengelenge makubwa vifuani mwao, na ulemavu wa uso ambao uliwaacha karibu wasitambulike

Alielewa ni jinsi gani kijana Yule alikua na machungu ya kumpoteza ndugu yake

Kwani aliongea Kwa huzuni na hisia nzito
Huku machozi yakimtoka mtoto Yule

Hakika aliumia kumpoteza ndugu yake

Tangu wakati huo, picha hii imekuwa ishara ya umoja huko Japan

Wacha hii iwe kauli mbiu yetu:
“Yeye sio mzito. Yeye ni kaka yangu… ni dada yangu.”
Akianguka, mwinue.
Hata ukichoka msaidie,
Na ikiwa msaada wake ni dhaifu,
Na akikosea msamehe
Na ikiwa ulimwengu utamtelekeza, mpe mgongo wako, kwa sababu si mzito
ni ndugu yako…”
Please usisahau Kuni follow, ili tuwe pamoja kwenye Stori zinazo fuata

Asante

Leave a Reply

Your email address will not be published.