Hadi kuchangiwa zaidi £1 million.
uziii✍️✍️✍️
baada ya miezi 18 ya kuzaliwa kwake akagundulika anaugonjwa wa neuroblastoma (saratani).
“Saratani haina rangi.”
Alikua akisumbuliwa na salatan Kwa mda mrefu.
Jambo hili Lili fanya wadau na vilabu vya mpira kuchanga pesa ili aperekwe
lakini uchunguzi ulionyesha saratani ilishamili hivyo haiwezi tibika tena.
mara kadhaa. Mashabiki waliimba jina lake kwenye michezo na kushikilia mabango yaliyosema: “Saratani haina rangi.”
Defoe alimtembelea Bradley mara Kwa mara nyumbani kwao Blackhall na kupiga picha pamoja.
Na akapewa nafasi ya kufunga goli na goli laki likawa ndio goli la mwezi
ambapo England walicheza na Lithuania na aliongoza kikosi wakati wa kuingia uwanjani yeye na rafikiake Defoe.
Nahodha Joe Hart aliwaruhusu Bradley na Defoe waongoze timu hadi uwanjani kwa
Chini ya saa 24 baadaye, alirudi hospitalini kwa matibabu zaidi ya kuongeza maisha yake
Bradley na Defoe walipigwa picha ya pamoja nyumbani na familia hiyo huko Blackhall, kaunti ya Durham, baada ya kuwa na karamu kumbe ilikua
July 7, 2017 Bradley Lowery aliaga dunia ilikua ni huzuni kubwa na kifo chake kiligusa mioyo ya watu wengi.
Mama ake alisema
“shujaa mdogo” alikuwa pamoja na malaika, na alikufa “katika mikono ya mama na baba akizungukwa na familia yake”. ”
Kwenye mkutano na waandishi wa habari Jermain Defoe aliesma
“Daima atakuwa moyoni mwangu kwa maisha yangu yote.
“Hakuna siku inapita ambapo huwa siamki asubuhi na kuangalia simu yangu au kumfikiria Bradley”
isiyoweza kushindwa, ujasiri mkubwa na tabasamu zuri, ambalo lingeweza kuangaza hata vyumba vya giza zaidi.”
Liverpool FC iliandika kwenye Twitter: “Bradley alikuwa msukumo kwa kila mtu.”